Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Featured Image

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa na Binti wa watu.
Ndoa hii huwa Haina mahari. Hii huvunjika
mwaka mmoja tu,baada ya wanandoa kugundua
hawakuwa wakipendana!

2. NDOA YA MIHEMKO (NYEGE)

Hufungwa na vijana wenye umri wa miaka kati
mume18 mke 16.Huvunjika baada ya miaka 3 au
4 ya ndoa.

4. NDOA YA MAONYESHO

Wenye ndoa Hii hupenda kujionyesha
barabarani.Ila ndani hazina utii.Hupigana kila
wanaporudi kutoka kwenye mizunguko. Cha
kushangaza huwa hazivunjiki lakini ndiyo ndoa
zinazoongoza kwa kuchepuka!

5. NDOA YA UHAMISHO.

Hufungwa na watumishi wa vijijini na mjini. Ili wa
kijijini ahamie mjini.Mahari utoa anaetaka
kuhamia mjini. Hata kama mahari atatoa mume
lakini hii ndiyo ndoa yenye ukakasi
zaidi.Huvunjika mara tu wanapoanza kuishi wote
mjini. Salama ya hii ndoa ni kuhama kutoka mjini
kwenda kijijini.

6. NDOA YA MIMBA.

Hufungwa kwa sababu wanaoowana hawataki
kuonekana makwao kuwa wamezaa nje. Au
muolewaji alikuwa hampendi muoaji kwa
dhati.Muoaji hutumia mimba kama mtego wa
kuingia ndoani. Hii huvunjika mtoto akizaliwa na
kufikisha mwaka 1.

7. NDOA YA MALI (UTAJIRI)

Muolewaji miaka 18 au 28 Muoaji 65 au 70.Ndoa
hii pia huitwa ndoa ya babu na mjuukuu. Ndoa ya
aina hii hudumu, kwasababu mwenye kauli ni
mwenye mali. Asilimia kubwa ya waume wa ndoa
hizi hulea watoto wasio wao.

8. NDOA YA KWASABABU.

Hufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
aonekane tu kwa jamii kuwa naye kaoa au
kaolewa.Huwa hazina utii wala upendo dhati.
Ndoa ya aina hii ikifikisha miaka 4 huwa
hazivunjiki wahusika huishi kwa mazoea.

9. NDOA YA UPENDO.

Ndoa hizi ziliishia mwaka 1978 kabla ya vita vya
kagera.Muoaji na muolewaji hawakuangalia vitu
ila utu tu ambao uliwaunganisha na kutengeneza
upendo wa kudumu. Hii ilidumu miaka yote.

10. NDOA KUCHUMA

Ndoa hii ufungwa ili mradi muoaji au muolewaji
akapate kitu au vitu fulani kutoka kwa upande
mmoja wapo. Hii hudumu miaka kadhaa
kutegemea na malengo ya mhusika. Wengine
husubiri mpaka mhusika afe,lkn hujikuta
wanakufa wao kwanza.
Kuwa mwangalifu!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Majaliwa (Guest) on December 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on November 7, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on October 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Mchawi (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Juma (Guest) on October 9, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Elijah Mutua (Guest) on September 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on July 24, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on July 6, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Azima (Guest) on July 5, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edward Chepkoech (Guest) on June 2, 2019

🀣πŸ”₯😊

Moses Mwita (Guest) on March 17, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Abubakar (Guest) on March 2, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 17, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Waithera (Guest) on January 8, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

George Tenga (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Neema (Guest) on December 20, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nakitare (Guest) on December 12, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mchome (Guest) on October 31, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

James Malima (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on October 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on October 16, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on July 2, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 16, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on May 15, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Shabani (Guest) on April 23, 2018

Asante Ackyshine

Jane Muthoni (Guest) on April 8, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Rahma (Guest) on March 3, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Warda (Guest) on February 24, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on February 22, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Kenneth Murithi (Guest) on February 6, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on January 27, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Mboya (Guest) on December 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sekela (Guest) on November 27, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on November 20, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abdullah (Guest) on November 15, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Kassim (Guest) on October 30, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Lissu (Guest) on October 17, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Chacha (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on September 27, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Masanja (Guest) on September 26, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on September 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on September 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on September 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on September 14, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Tabu (Guest) on July 30, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Bernard Oduor (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Related Posts

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About