Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Violet Mumo (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mgeni (Guest) on October 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ali (Guest) on September 22, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Tambwe (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Wilson Ombati (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Hellen Nduta (Guest) on August 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on August 25, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on June 28, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on June 22, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

John Lissu (Guest) on May 19, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

George Tenga (Guest) on May 9, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 29, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Abubakari (Guest) on April 23, 2019

Asante Ackyshine

Emily Chepngeno (Guest) on April 12, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Monica Lissu (Guest) on March 30, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on March 10, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on February 21, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on February 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on December 19, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Moses Kipkemboi (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Chris Okello (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samuel Were (Guest) on September 11, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on July 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 22, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on July 8, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on June 13, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Tenga (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Martin Otieno (Guest) on June 1, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 15, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Dorothy Nkya (Guest) on April 12, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Hellen Nduta (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on December 24, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 9, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Anthony Kariuki (Guest) on November 8, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on September 18, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mrope (Guest) on September 18, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on September 12, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Susan Wangari (Guest) on September 8, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on August 8, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 19, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on May 30, 2017

😊🀣πŸ”₯

Victor Kimario (Guest) on May 26, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jafari (Guest) on April 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on April 14, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Achieng (Guest) on March 18, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
πŸ“– Explore More Articles