Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Salma (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Sokoine (Guest) on December 8, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jafari (Guest) on November 28, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Lowassa (Guest) on November 14, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ruth Mtangi (Guest) on October 30, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on September 25, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Hassan (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Wairimu (Guest) on July 29, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on July 28, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on July 26, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Sumari (Guest) on July 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on June 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on May 18, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Philip Nyaga (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Shukuru (Guest) on May 6, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Chacha (Guest) on April 19, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mashaka (Guest) on March 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Peter Otieno (Guest) on February 17, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on February 8, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Kimaro (Guest) on January 18, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on January 14, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Kawawa (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

George Mallya (Guest) on November 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 3, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on October 20, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on September 25, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on September 22, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mwachumu (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Sumaye (Guest) on August 29, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 22, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on July 22, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Sarah Mbise (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on June 20, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Christopher Oloo (Guest) on June 20, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Salum (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on May 13, 2018

Asante Ackyshine

Patrick Kidata (Guest) on May 9, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on April 18, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on April 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on April 3, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on March 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on March 15, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Maulid (Guest) on March 12, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on December 31, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahim (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Hawa (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Umi (Guest) on December 7, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on November 12, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joyce Aoko (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Betty Cheruiyot (Guest) on October 28, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About