Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Omari (Guest) on April 19, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on April 18, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Jebet (Guest) on March 6, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 18, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on February 4, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on January 24, 2020

🀣πŸ”₯😊

Isaac Kiptoo (Guest) on January 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on December 29, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Wilson Ombati (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanaisha (Guest) on November 14, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Thomas Mtaki (Guest) on November 9, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 27, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on September 15, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on September 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on August 31, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on August 19, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Abubakari (Guest) on July 16, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sumaya (Guest) on July 11, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on July 3, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Alex Nakitare (Guest) on June 19, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Lowassa (Guest) on May 24, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on May 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mchuma (Guest) on May 1, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on April 22, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on April 7, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 30, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Janet Sumari (Guest) on March 23, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Mushi (Guest) on March 16, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 13, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on January 22, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zuhura (Guest) on January 5, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 4, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sofia (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Kenneth Murithi (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on October 19, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Ndungu (Guest) on August 28, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Biashara (Guest) on July 10, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Chris Okello (Guest) on June 20, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mtangi (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

George Tenga (Guest) on May 7, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Shabani (Guest) on April 27, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on April 23, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwafirika (Guest) on April 3, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

George Ndungu (Guest) on March 29, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on March 9, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ann Wambui (Guest) on February 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on January 11, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwanaisha (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Patrick Mutua (Guest) on October 9, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More