Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani nikatamani fursana nikaingia kijisupermarket mara sindo nakutana na ex wangu! Mshenzi yule kaniona mimi sijui alikua na mpango wa kununua vocha ya jero eti kabadili kanunua vocha ya buku tano ilimradi nione maisha yake safi tangu tuachane. Mambo ya kijinga spendi kudadeky nimetoa buku kumi nikanunua mipampers nami nijifanye nimeowa nina mtoto halafu huyoo nikashika njia yangu.

Sasa washkaji zangu tafadhalini mwenye mtoto au shida ya pampers naomba anunue kwangu maana leo nalala tena kiza πŸ™†β€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alice Wanjiru (Guest) on October 26, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on October 17, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Nora Lowassa (Guest) on October 4, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 14, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Ann Wambui (Guest) on September 1, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 29, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jackson Makori (Guest) on July 28, 2019

🀣πŸ”₯😊

Stephen Malecela (Guest) on July 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on July 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Makame (Guest) on July 22, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mtumwa (Guest) on July 2, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Sokoine (Guest) on June 13, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on March 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shani (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on February 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on January 31, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on January 4, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on December 12, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 15, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on November 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 25, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on October 13, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on September 27, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on September 17, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hamida (Guest) on September 17, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Wilson Ombati (Guest) on September 3, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mariam Hassan (Guest) on June 29, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwajuma (Guest) on June 10, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on June 8, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on June 3, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on May 13, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mahiga (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Lowassa (Guest) on March 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on March 16, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on March 3, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Rose Mwinuka (Guest) on February 24, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mariam Hassan (Guest) on February 4, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on February 2, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on December 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Mushi (Guest) on December 20, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Issa (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Chacha (Guest) on December 10, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on November 15, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on October 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on October 11, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on October 4, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 28, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Majid (Guest) on September 18, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Frank Sokoine (Guest) on September 17, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mwanaidha (Guest) on September 5, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on August 27, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 20, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on July 28, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on July 7, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More