Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu? MKE: Akasimama na kusema: Mheshimiwa hakimu hivi ukimwaga mbegu ktk shamba la mtu mti ukiota utakuwa wa kwako au wa mwenye shamba?. Hebu tumsaidie hakimu aamue kesi hii…
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumari (Guest) on July 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 13, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Maulid (Guest) on April 14, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Maimuna (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Raha (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jackson Makori (Guest) on March 14, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Sokoine (Guest) on March 2, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Mrope (Guest) on February 29, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Hashim (Guest) on February 17, 2024

Asante Ackyshine

Carol Nyakio (Guest) on February 17, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on January 22, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Malima (Guest) on January 17, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on January 5, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Khalifa (Guest) on January 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Irene Akoth (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mushi (Guest) on December 24, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on December 12, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 28, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on October 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

George Tenga (Guest) on October 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Mbise (Guest) on September 28, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on September 14, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 3, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mchuma (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nassar (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Said (Guest) on August 14, 2023

Utata huuπŸ™Œ

Hekima (Guest) on June 13, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on May 29, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine (Guest) on April 14, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Wanjiru (Guest) on March 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on March 13, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on February 1, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on January 30, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zakia (Guest) on January 25, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on December 28, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on December 21, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hassan (Guest) on December 21, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumaye (Guest) on December 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahim (Guest) on November 20, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

George Ndungu (Guest) on November 12, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on October 30, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on October 13, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on September 9, 2022

😊🀣πŸ”₯

Mustafa (Guest) on September 7, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 28, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on July 29, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on June 19, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Susan Wangari (Guest) on May 17, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 27, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Andrew Odhiambo (Guest) on April 26, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edith Cherotich (Guest) on April 5, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on March 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on March 11, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 4, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on February 24, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on February 17, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Related Posts

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More