Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto. MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu? MKE: Akasimama na kusema: Mheshimiwa hakimu hivi ukimwaga mbegu ktk shamba la mtu mti ukiota utakuwa wa kwako au wa mwenye shamba?. Hebu tumsaidie hakimu aamue kesi hii…
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

LUSANA (User) on February 15, 2026

asanteni

Janet Sumari (Guest) on July 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 13, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on May 26, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Maulid (Guest) on April 14, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Maimuna (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Raha (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jackson Makori (Guest) on March 14, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mary Sokoine (Guest) on March 2, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Francis Mrope (Guest) on February 29, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Hashim (Guest) on February 17, 2024

Asante Ackyshine

Carol Nyakio (Guest) on February 17, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on January 22, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Malima (Guest) on January 17, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on January 5, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Khalifa (Guest) on January 3, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Irene Akoth (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mushi (Guest) on December 24, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on December 12, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 28, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on October 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

George Tenga (Guest) on October 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sarah Mbise (Guest) on September 28, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kamau (Guest) on September 14, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 3, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mchuma (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nassar (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Said (Guest) on August 14, 2023

Utata huuπŸ™Œ

Hekima (Guest) on June 13, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on May 29, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Josephine (Guest) on April 14, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Wanjiru (Guest) on March 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on March 13, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on February 1, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on January 30, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zakia (Guest) on January 25, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

George Tenga (Guest) on December 28, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on December 21, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hassan (Guest) on December 21, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Sumaye (Guest) on December 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahim (Guest) on November 20, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

George Ndungu (Guest) on November 12, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on October 30, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on October 13, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on September 9, 2022

😊🀣πŸ”₯

Mustafa (Guest) on September 7, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 28, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on July 29, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 5, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on June 19, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Susan Wangari (Guest) on May 17, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 27, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Andrew Odhiambo (Guest) on April 26, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edith Cherotich (Guest) on April 5, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on March 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on March 11, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 4, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on February 24, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About