Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kiza (Guest) on March 23, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ali (Guest) on March 17, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Abubakari (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Amina (Guest) on March 4, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Betty Kimaro (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Sarah Karani (Guest) on February 22, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on February 15, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 14, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nahida (Guest) on February 13, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 19, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on January 13, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on November 19, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on November 1, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on October 7, 2018

Asante Ackyshine

Anna Sumari (Guest) on September 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on August 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on August 9, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Amukowa (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Janet Mwikali (Guest) on August 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nashon (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Grace Majaliwa (Guest) on July 31, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kheri (Guest) on July 14, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mwanaidi (Guest) on July 13, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Issack (Guest) on July 2, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Esther Nyambura (Guest) on June 20, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 15, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on June 12, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Sumari (Guest) on June 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on June 4, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joyce Aoko (Guest) on May 27, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Zubeida (Guest) on May 14, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Christopher Oloo (Guest) on May 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Fatuma (Guest) on April 13, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Zawadi (Guest) on April 5, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ibrahim (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on March 7, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on February 14, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on February 9, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwajuma (Guest) on January 17, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Sokoine (Guest) on January 10, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ibrahim (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Diana Mumbua (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on December 11, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Tambwe (Guest) on December 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Kimario (Guest) on October 31, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 27, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Kiwanga (Guest) on September 22, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on September 18, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Safiya (Guest) on August 13, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Mligo (Guest) on August 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on July 23, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Ndunguru (Guest) on June 26, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

John Mushi (Guest) on June 21, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Kamande (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Related Posts

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More