Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Simu ilivyozua utata

Featured Image

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuwa na kupiga) Mtoto…Mama simu ya baba imepokelewa na mwanamke. (Mama kwa hasira) Akirud atanitambua leo. (Baada ya muda kidogo baba akarud,kufika mlangon tu kapokewa na sufuria ya kichwa. Hajakaa vzur mwiko wa pua) Mama..Mwanangu ulipopiga simu ya babako mwanamke wake alisemaje?? Mtoto..Alisema mteja unaempigia hapatikan kwa sasa…..

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Akoth (Guest) on February 3, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

George Tenga (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on January 11, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on December 2, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Latifa (Guest) on December 1, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Azima (Guest) on November 20, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Alice Jebet (Guest) on November 15, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on October 18, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on September 25, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on September 8, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on August 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on August 4, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

George Mallya (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 14, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Catherine Naliaka (Guest) on April 27, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on March 23, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 11, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on February 11, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Christopher Oloo (Guest) on February 4, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on January 27, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on January 6, 2019

Asante Ackyshine

Abubakari (Guest) on December 29, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Kikwete (Guest) on December 28, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on December 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on November 12, 2018

🀣πŸ”₯😊

Ruth Wanjiku (Guest) on November 7, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Esther Nyambura (Guest) on October 30, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Irene Akoth (Guest) on October 19, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on October 4, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Wanjala (Guest) on October 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Kimario (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on September 8, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Salum (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 29, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kazija (Guest) on August 25, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Khadija (Guest) on August 18, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Elizabeth Mrema (Guest) on July 30, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chiku (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Furaha (Guest) on July 22, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on May 15, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 11, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 2, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on April 23, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Patrick Kidata (Guest) on April 22, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on April 10, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on March 26, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on March 21, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Malima (Guest) on February 15, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on February 10, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on January 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Chum (Guest) on January 23, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nyota (Guest) on January 4, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Malima (Guest) on November 24, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
πŸ“– Explore More Articles