Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Miriam Mchome (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on August 9, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 13, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on June 16, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on May 20, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Muthui (Guest) on May 15, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on April 24, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Nancy Komba (Guest) on April 15, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on April 2, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on March 1, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on February 12, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on February 11, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mjaka (Guest) on January 11, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Monica Adhiambo (Guest) on January 7, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Hellen Nduta (Guest) on December 13, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on November 4, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Alice Mwikali (Guest) on November 3, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Daudi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on October 20, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on October 5, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on October 2, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on September 24, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Richard Mulwa (Guest) on August 30, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on August 28, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Sumaye (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on July 8, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanais (Guest) on June 10, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Omar (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Grace Mligo (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on May 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on May 3, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Diana Mumbua (Guest) on April 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 28, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on March 15, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Esther Nyambura (Guest) on January 30, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on January 24, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on January 15, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Majid (Guest) on January 11, 2018

Asante Ackyshine

Andrew Odhiambo (Guest) on January 11, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on January 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanajuma (Guest) on December 11, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Yahya (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on November 21, 2017

😊🀣πŸ”₯

Charles Wafula (Guest) on November 4, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on October 22, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on October 11, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Malisa (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on September 19, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Umi (Guest) on August 26, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nancy Kawawa (Guest) on August 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mumbua (Guest) on July 11, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on June 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Martin Otieno (Guest) on June 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on May 7, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Philip Nyaga (Guest) on April 20, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Aoko (Guest) on March 30, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More