Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Binti (Guest) on March 26, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mtaki (Guest) on February 11, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on February 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Wanjiru (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwanaidha (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on January 1, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kawawa (Guest) on November 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on November 3, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Husna (Guest) on October 23, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Alex Nakitare (Guest) on September 20, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 3, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on August 10, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on August 1, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on July 30, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on June 27, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jane Malecela (Guest) on May 30, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on May 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on May 13, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on May 1, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 1, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 23, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Mrema (Guest) on March 23, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on March 8, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on February 5, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on December 29, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Akumu (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Daniel Obura (Guest) on November 7, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on November 6, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zubeida (Guest) on October 28, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Faith Kariuki (Guest) on October 9, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on September 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 21, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on August 27, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on August 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on August 14, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mustafa (Guest) on July 18, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mariam Kawawa (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on May 23, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on May 15, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on May 4, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Esther Nyambura (Guest) on April 20, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwanaidi (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwafirika (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Victor Sokoine (Guest) on February 24, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Lissu (Guest) on February 15, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on February 13, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Peter Otieno (Guest) on February 10, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on January 23, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Linda Karimi (Guest) on December 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edward Lowassa (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mwalimu (Guest) on October 6, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Frank Macha (Guest) on October 5, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

πŸ“– Explore More Articles