Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Binti (Guest) on March 26, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mtaki (Guest) on February 11, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on February 7, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Wanjiru (Guest) on January 22, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwanaidha (Guest) on January 13, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on January 1, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kawawa (Guest) on November 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Jane Muthui (Guest) on November 3, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Husna (Guest) on October 23, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Alex Nakitare (Guest) on September 20, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 3, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on August 10, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on August 1, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on July 30, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on June 27, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jane Malecela (Guest) on May 30, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on May 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on May 13, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on May 1, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 1, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on April 23, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Mrema (Guest) on March 23, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on March 8, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on February 16, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on February 5, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on December 29, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nancy Akumu (Guest) on November 27, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on November 19, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Daniel Obura (Guest) on November 7, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwakisu (Guest) on November 6, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zubeida (Guest) on October 28, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Faith Kariuki (Guest) on October 9, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on September 28, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 21, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on August 27, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on August 15, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on August 14, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mustafa (Guest) on July 18, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mariam Kawawa (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on May 23, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on May 15, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on May 4, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Esther Nyambura (Guest) on April 20, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwanaidi (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwafirika (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Victor Sokoine (Guest) on February 24, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Lissu (Guest) on February 15, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on February 13, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Peter Otieno (Guest) on February 10, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on January 23, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Linda Karimi (Guest) on December 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Edward Lowassa (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mwalimu (Guest) on October 6, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Frank Macha (Guest) on October 5, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About