Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Kamau (Guest) on December 22, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Sokoine (Guest) on December 10, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Sokoine (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanajuma (Guest) on October 22, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Baridi (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Nkya (Guest) on August 23, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on August 22, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 16, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on August 4, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Amollo (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hekima (Guest) on June 17, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 3, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 20, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on February 26, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Kamande (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joseph Mallya (Guest) on January 26, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on January 21, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Peter Mugendi (Guest) on November 16, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on November 15, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on November 11, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Fatuma (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rukia (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on September 16, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on September 7, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on September 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on August 22, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Issack (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Rahma (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Malisa (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Linda Karimi (Guest) on July 13, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Josephine (Guest) on May 29, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on May 12, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on April 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on April 23, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on April 21, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nyota (Guest) on April 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Irene Makena (Guest) on April 4, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Patrick Mutua (Guest) on February 25, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on January 21, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Wambura (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on December 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on December 9, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Violet Mumo (Guest) on November 2, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 26, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Athumani (Guest) on October 16, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Violet Mumo (Guest) on October 7, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Baraka (Guest) on September 27, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Paul Ndomba (Guest) on September 25, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

David Kawawa (Guest) on August 15, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Mchome (Guest) on June 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on June 1, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

πŸ“– Explore More Articles