Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kimario (Guest) on September 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on September 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Njuguna (Guest) on September 5, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on August 16, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mohamed (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Edward Lowassa (Guest) on June 17, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joseph Kiwanga (Guest) on June 2, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

James Mduma (Guest) on May 7, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamsa (Guest) on May 5, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Lucy Kimotho (Guest) on April 30, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Mahiga (Guest) on February 23, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Kazija (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Were (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on January 12, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on December 18, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Fadhila (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Sokoine (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on September 20, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anthony Kariuki (Guest) on September 5, 2018

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Emily Chepngeno (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 4, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on June 18, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwagonda (Guest) on May 27, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nancy Akumu (Guest) on May 24, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Irene Akoth (Guest) on May 19, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Frank Macha (Guest) on May 16, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on May 1, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on April 5, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Robert Okello (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on February 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on February 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kabura (Guest) on February 2, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwakisu (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on November 22, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Sokoine (Guest) on November 8, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on November 6, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Bakari (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on October 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on October 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on October 5, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on September 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Juma (Guest) on September 13, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Philip Nyaga (Guest) on September 4, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Adhiambo (Guest) on June 14, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on June 13, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More