Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kimario (Guest) on September 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on September 7, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Grace Njuguna (Guest) on September 5, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on August 27, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on August 16, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mohamed (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Edward Lowassa (Guest) on June 17, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joseph Kiwanga (Guest) on June 2, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on June 1, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

James Mduma (Guest) on May 7, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shamsa (Guest) on May 5, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Lucy Kimotho (Guest) on April 30, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on April 27, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Mahiga (Guest) on February 23, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Kazija (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Were (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on January 12, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on December 18, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Fadhila (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Sokoine (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on September 20, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anthony Kariuki (Guest) on September 5, 2018

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Emily Chepngeno (Guest) on August 4, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on July 28, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 4, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on June 18, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwagonda (Guest) on May 27, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Nancy Akumu (Guest) on May 24, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Irene Akoth (Guest) on May 19, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Frank Macha (Guest) on May 16, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on May 1, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jacob Kiplangat (Guest) on April 5, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Robert Okello (Guest) on March 4, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on February 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on February 9, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Nancy Kabura (Guest) on February 2, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwakisu (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on November 22, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Sokoine (Guest) on November 8, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on November 6, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Bakari (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mchome (Guest) on October 17, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on October 13, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on October 5, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Maimuna (Guest) on September 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Juma (Guest) on September 13, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Philip Nyaga (Guest) on September 4, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Njuguna (Guest) on July 26, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Adhiambo (Guest) on June 14, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on June 13, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About