Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mustafa (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Kamande (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on September 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on September 6, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 29, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on August 22, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Shabani (Guest) on August 21, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Lowassa (Guest) on August 1, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on July 9, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

James Kawawa (Guest) on July 3, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 2, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on June 25, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 4, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Nkya (Guest) on March 11, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 21, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 6, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on January 25, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on December 17, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kahina (Guest) on December 14, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Jabir (Guest) on December 3, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on November 13, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Azima (Guest) on October 18, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Christopher Oloo (Guest) on October 17, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Aziza (Guest) on October 2, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 27, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on August 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on August 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Sarah Achieng (Guest) on August 8, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Mwangi (Guest) on August 4, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on July 28, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Patrick Kidata (Guest) on July 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Asha (Guest) on June 20, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Mary Kendi (Guest) on June 6, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Husna (Guest) on May 18, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Sultan (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on May 5, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on May 3, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Selemani (Guest) on April 10, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on March 4, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nchi (Guest) on February 6, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Salima (Guest) on January 31, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Akinyi (Guest) on December 22, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Lowassa (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Margaret Mahiga (Guest) on August 25, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ann Wambui (Guest) on August 11, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 25, 2019

Asante Ackyshine

Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 13, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Related Posts

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About