Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Faith Kariuki (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on May 10, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on April 16, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 15, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Diana Mumbua (Guest) on April 9, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mhina (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on March 30, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on March 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Richard Mulwa (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on March 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mohamed (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Frank Macha (Guest) on February 21, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanakhamis (Guest) on January 31, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Husna (Guest) on January 30, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 29, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 23, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Samuel Omondi (Guest) on December 22, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Rahim (Guest) on December 21, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Vincent Mwangangi (Guest) on December 15, 2021

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on November 30, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Robert Okello (Guest) on October 27, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Samuel Were (Guest) on October 17, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on October 3, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on September 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on September 21, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Sumari (Guest) on September 4, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Francis Njeru (Guest) on August 31, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Catherine Naliaka (Guest) on July 12, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 3, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on June 29, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on May 26, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mallya (Guest) on April 1, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on March 26, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 17, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Ahmed (Guest) on March 12, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on February 9, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on January 11, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rose Amukowa (Guest) on January 9, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Francis Mtangi (Guest) on December 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Juma (Guest) on November 14, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on November 3, 2020

🀣πŸ”₯😊

James Kawawa (Guest) on October 24, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rose Amukowa (Guest) on September 15, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Dingi kauzu kuliko wote duniani ndiyo huyu hapa

Mtoto:Β Baba nitumie pesa ya matumizi huku shuleni hali ni mbaya sana la sivyo ... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About