Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Featured Image

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatuonani mzee, mishe vipi, mnatunyima nini? Juzi nimekuona kwa mbaaali… mzee shavu dodo, full kipupwe! Sie tupo bwana, shida tu, afu misiba mingi tu, wife nae kajifungua ghafla. Sasa, kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema itatoka next week, hapa nimekwama kweli. Naweza pata 'Laki Moja' ya karibu hapo nitarudisha mwisho wa mwezi…?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Latifa (Guest) on February 9, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on February 8, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on January 21, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Rehema (Guest) on December 17, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on November 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on November 2, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on September 28, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Yusuf (Guest) on September 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on September 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 20, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Hellen Nduta (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on July 10, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 29, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam (Guest) on June 27, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Philip Nyaga (Guest) on June 18, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on June 8, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Linda Karimi (Guest) on April 29, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khatib (Guest) on April 5, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Wafula (Guest) on February 6, 2021

😊🀣πŸ”₯

James Mduma (Guest) on January 23, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on January 11, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Biashara (Guest) on December 30, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Violet Mumo (Guest) on December 7, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Peter Mbise (Guest) on December 4, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on November 27, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Susan Wangari (Guest) on November 13, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Umi (Guest) on November 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Anna Malela (Guest) on November 5, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 30, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on September 22, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Martin Otieno (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Rose Mwinuka (Guest) on August 15, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 30, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on July 5, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Fikiri (Guest) on June 27, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hassan (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Margaret Mahiga (Guest) on April 17, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on March 16, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jafari (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jamila (Guest) on March 11, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nekesa (Guest) on February 24, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on February 22, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthui (Guest) on January 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on December 18, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Agnes Lowassa (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rubea (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on October 1, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joy Wacera (Guest) on September 22, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 19, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 29, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mariam (Guest) on August 24, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Mwalimu (Guest) on August 11, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Related Posts

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
πŸ“– Explore More Articles