Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi? MLEVI: Naomba uje unisukume. Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Catherine Mkumbo (Guest) on July 31, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on July 19, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Charles Mrope (Guest) on June 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Sofia (Guest) on May 5, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Lydia Wanyama (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Joseph Njoroge (Guest) on January 28, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Binti (Guest) on January 22, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on January 1, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Richard Mulwa (Guest) on November 23, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 9, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Patrick Kidata (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Margaret Anyango (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Mushi (Guest) on October 8, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nyota (Guest) on September 18, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on August 23, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on August 15, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Mushi (Guest) on August 4, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on July 31, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on July 17, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Monica Adhiambo (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on March 2, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 23, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Baridi (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edward Lowassa (Guest) on January 31, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on January 31, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Kendi (Guest) on January 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on January 20, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Diana Mumbua (Guest) on January 16, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bernard Oduor (Guest) on December 21, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Kamande (Guest) on December 16, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 16, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Neema (Guest) on December 15, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on October 31, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on October 26, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Brian Karanja (Guest) on September 25, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Masika (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on August 25, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on August 24, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on August 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Mtangi (Guest) on July 7, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 26, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 16, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on June 13, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Khadija (Guest) on May 27, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samson Mahiga (Guest) on May 18, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on April 23, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Anna Mahiga (Guest) on April 1, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Alex Nyamweya (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on March 12, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Maulid (Guest) on March 9, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on January 28, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on January 8, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ramadhan (Guest) on December 20, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Christopher Oloo (Guest) on December 16, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on December 13, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Related Posts

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About