Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Featured Image
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa. Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao. Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana. Wakaingia msituni kila mtu njia yake. … Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa. Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini… alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa. Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, β€œVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?” Mkenya akamjibu: β€œMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!”
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zuhura (Guest) on September 2, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Nyalandu (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on July 31, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Otieno (Guest) on July 29, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine (Guest) on July 24, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Abdullah (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nuru (Guest) on July 8, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Mrema (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

David Nyerere (Guest) on May 28, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on April 27, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hassan (Guest) on April 11, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Francis Njeru (Guest) on April 11, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sharifa (Guest) on March 26, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on March 24, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 6, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on February 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on February 13, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Sumaye (Guest) on February 4, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on January 28, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Zawadi (Guest) on January 23, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Richard Mulwa (Guest) on January 14, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Khatib (Guest) on January 2, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 1, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Mushi (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Salum (Guest) on December 11, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Fadhili (Guest) on November 6, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

George Mallya (Guest) on October 10, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on September 22, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on September 9, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on August 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ali (Guest) on July 21, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 10, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Edward Lowassa (Guest) on May 14, 2020

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on April 16, 2020

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on April 12, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on March 7, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yusuf (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanais (Guest) on February 16, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on January 5, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on December 27, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on December 26, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Ndoto (Guest) on December 22, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on December 20, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on November 27, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More