Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Njuguna (Guest) on October 7, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Majid (Guest) on September 29, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Sarah Mbise (Guest) on September 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rahim (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kidata (Guest) on August 18, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 10, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on July 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on June 25, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 25, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Musyoka (Guest) on May 13, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on May 5, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on March 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on January 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on January 25, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kiwanga (Guest) on January 23, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 16, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Chiku (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on December 6, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 4, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on October 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Salum (Guest) on October 22, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Francis Mrope (Guest) on October 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on October 12, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Wanjiru (Guest) on August 15, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Maulid (Guest) on July 11, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on June 10, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mary Mrope (Guest) on May 24, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on May 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 9, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on February 16, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 8, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mugendi (Guest) on January 22, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on October 25, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Robert Okello (Guest) on July 28, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on July 24, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Athumani (Guest) on July 10, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 6, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Paul Ndomba (Guest) on June 8, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Musyoka (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 12, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on May 7, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sultan (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Khadija (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About