Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Mwambui (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 11, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Mallya (Guest) on May 6, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zakia (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Amina (Guest) on April 7, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Nkya (Guest) on March 31, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on March 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on March 4, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Zakaria (Guest) on February 28, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mushi (Guest) on February 24, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on February 15, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on February 2, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on January 25, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on January 22, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on January 2, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on December 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mwikali (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on November 27, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on November 25, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Irene Akoth (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on October 17, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rahim (Guest) on October 1, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Raphael Okoth (Guest) on August 8, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ndoto (Guest) on August 4, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwajuma (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mugendi (Guest) on May 14, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Robert Okello (Guest) on May 12, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mwafirika (Guest) on April 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on March 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on March 11, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Kiwanga (Guest) on February 16, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Maimuna (Guest) on February 5, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on January 21, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Mallya (Guest) on January 15, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Malela (Guest) on December 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on December 1, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mwanais (Guest) on November 21, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on November 12, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on November 5, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kahina (Guest) on November 4, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 6, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on August 30, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 27, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on June 7, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Akumu (Guest) on May 22, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on May 7, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 28, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Diana Mumbua (Guest) on March 23, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on March 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 14, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

George Wanjala (Guest) on March 12, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Related Posts

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More