Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.

Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.

Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=

Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.

Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.

Meneja akaja kuwasikiliza

Babu:Β " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"

Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "

Babu;Β "Lakini hatukuyatumia"

Manager;Β "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"

Babu:Β "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"

meneja:Β "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"

Babu:Β "Lakini sisi hatukuwasikiliza"

Meneja:Β "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"

Babu;Β aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,

Bibi akaandika akampa meneja.

Meneja anaangalia anaona sh. 50,000

Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"

Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"

Meneja akajibu; "Lakini sijalala"

Bibi :"ungeweza kama ungetaka"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on March 23, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on February 22, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Charles Mchome (Guest) on February 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on December 29, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 8, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on September 22, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

George Tenga (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on August 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on August 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Issack (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on June 24, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Tabu (Guest) on June 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Were (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Salma (Guest) on May 18, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 3, 2021

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 29, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on March 3, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nahida (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Komba (Guest) on January 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Tabu (Guest) on December 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 25, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on October 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salum (Guest) on September 24, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 4, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Monica Adhiambo (Guest) on August 30, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on May 25, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Michael Mboya (Guest) on May 12, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on May 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 19, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on March 3, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Fadhila (Guest) on February 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on January 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

πŸ“– Explore More Articles