Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Featured Image

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
lazima awe na picha passport size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya nmb bank. Alafu awe na marefa wanne ambao wamekuwa facebook for more than 3 years. Amesema
hataki tena kujiunga fb!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Saa ivi niko zangu nimelala naendelea kupunguza uchovu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Agnes Lowassa (Guest) on August 19, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on July 28, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on July 14, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on June 23, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lucy Wangui (Guest) on June 20, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 4, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on May 3, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on April 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Maida (Guest) on April 20, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jane Muthoni (Guest) on April 4, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Kiza (Guest) on April 1, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Paul Kamau (Guest) on March 5, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on March 3, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on February 15, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on January 12, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Victor Mwalimu (Guest) on December 29, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Esther Cheruiyot (Guest) on December 12, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khatib (Guest) on December 1, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on November 16, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Alice Mwikali (Guest) on October 14, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Leila (Guest) on October 13, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on September 28, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Warda (Guest) on September 12, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 5, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on August 15, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on August 10, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on August 3, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 18, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam (Guest) on July 11, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edward Lowassa (Guest) on June 27, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Njuguna (Guest) on June 8, 2020

🀣πŸ”₯😊

Aziza (Guest) on June 1, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Mallya (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on April 26, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Akoth (Guest) on April 14, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on March 17, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Violet Mumo (Guest) on March 1, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on February 13, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alice Wanjiru (Guest) on February 1, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Benjamin Kibicho (Guest) on January 28, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on January 15, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on December 30, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Nancy Komba (Guest) on December 9, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Daniel Obura (Guest) on December 6, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Sarah Achieng (Guest) on November 30, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Hashim (Guest) on October 12, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Moses Mwita (Guest) on October 9, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 1, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarafina (Guest) on September 30, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Grace Njuguna (Guest) on September 22, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on September 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on September 11, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 25, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 22, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Zakia (Guest) on July 14, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Bernard Oduor (Guest) on July 11, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Related Posts

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
πŸ“– Explore More Articles