Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani. Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamsa (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Nyerere (Guest) on February 4, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Komba (Guest) on January 16, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 30, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Mahiga (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Peter Mugendi (Guest) on December 2, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Frank Sokoine (Guest) on November 7, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on October 28, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on October 26, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on September 2, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Hamida (Guest) on August 27, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Benjamin Kibicho (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on August 10, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on June 29, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on June 7, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on April 17, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yahya (Guest) on March 21, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Wambura (Guest) on February 12, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on December 27, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on December 8, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on December 7, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on November 16, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on November 13, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Ahmed (Guest) on November 3, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on October 27, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on October 20, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on October 4, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on September 6, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Farida (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Arifa (Guest) on August 20, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Kamande (Guest) on August 16, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on July 24, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Safiya (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mchome (Guest) on July 5, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Emily Chepngeno (Guest) on June 28, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 31, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on May 21, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on May 20, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Paul Kamau (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Patrick Kidata (Guest) on April 27, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Lowassa (Guest) on April 21, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nashon (Guest) on April 14, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on April 6, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on March 19, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on February 21, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Farida (Guest) on February 14, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Grace Wairimu (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on February 1, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on January 24, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 12, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on January 8, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on November 30, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Ndomba (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on September 4, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

πŸ“– Explore More Articles