Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on May 8, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Issa (Guest) on May 3, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on February 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on February 12, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on January 29, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Abubakari (Guest) on December 30, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on December 21, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jackson Makori (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on November 25, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on November 19, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on November 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on November 3, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on October 16, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daniel Obura (Guest) on October 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on September 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Malima (Guest) on August 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on August 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on July 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Ochieng (Guest) on July 10, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on June 21, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on June 2, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on May 12, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Sokoine (Guest) on April 8, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ndoto (Guest) on March 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on February 28, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on February 4, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on February 3, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mercy Atieno (Guest) on January 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on November 24, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 25, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 13, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on August 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on June 23, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 7, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on May 3, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Mwalimu (Guest) on April 28, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on April 9, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 25, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on March 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Were (Guest) on March 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 15, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on February 2, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 12, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on January 7, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on November 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on November 7, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on October 17, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Mallya (Guest) on October 15, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About