Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on May 8, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Issa (Guest) on May 3, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on February 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on February 12, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on January 29, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Abubakari (Guest) on December 30, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on December 21, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jackson Makori (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on November 25, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on November 19, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on November 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on November 3, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on October 16, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daniel Obura (Guest) on October 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on September 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Malima (Guest) on August 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on August 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on July 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Ochieng (Guest) on July 10, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on June 21, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on June 2, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on May 12, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Sokoine (Guest) on April 8, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ndoto (Guest) on March 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on February 28, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on February 4, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on February 3, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mercy Atieno (Guest) on January 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on November 24, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 25, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 13, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on August 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on June 23, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 7, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on May 3, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Mwalimu (Guest) on April 28, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on April 9, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 25, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on March 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Were (Guest) on March 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 15, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on February 2, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 12, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on January 7, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on November 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on November 7, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on October 17, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Mallya (Guest) on October 15, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Related Posts

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
πŸ“– Explore More Articles