Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, โ€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo โ€œNakupenda Mpenziโ€?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno โ€œNAKUPENDA MPENZIโ€
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 โ€“ โ€œSamahani, nani mwenzanguโ€!
Simu ya 2 โ€“ โ€œSamahani, wrong numberโ€!
Simu ya 3 โ€“ โ€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hiiโ€!
Simu ya 4 โ€“ โ€œMh! leo mvua itanyeshaโ€!
Simu ya 5 โ€“ โ€œNikija tutaongea zaidiโ€!
Simu ya 6 โ€“ โ€œโ€ฆโ€ฆImedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa โ€ฆโ€ฆโ€!
Simu ya 7 โ€“ โ€œMe tooโ€!
Simu ya 6 โ€“ โ€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikomaโ€!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mercy Atieno (Guest) on July 18, 2024

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Brian Karanja (Guest) on June 20, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Elizabeth Mtei (Guest) on June 6, 2024

Nimeipenda hii joke! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 1, 2024

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Aziza (Guest) on March 13, 2024

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐Ÿ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 3, 2024

๐Ÿ˜ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Daniel Obura (Guest) on January 14, 2024

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

John Mwangi (Guest) on January 11, 2024

๐Ÿ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2024

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Guest (Guest) on December 24, 2025

Au sio!

George Wanjala (Guest) on December 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 28, 2023

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Diana Mumbua (Guest) on November 23, 2023

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Mashaka (Guest) on November 11, 2023

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on October 21, 2023

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Grace Mligo (Guest) on October 16, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Alice Jebet (Guest) on October 12, 2023

๐Ÿคฃ Ninaituma sasa hivi!

Ali (Guest) on September 26, 2023

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on September 19, 2023

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on August 28, 2023

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Sharifa (Guest) on August 24, 2023

๐Ÿ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Sokoine (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Shabani (Guest) on July 13, 2023

๐Ÿ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Kawawa (Guest) on June 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! ๐Ÿ˜

Joseph Mallya (Guest) on May 24, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Rabia (Guest) on May 3, 2023

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Yusra (Guest) on April 13, 2023

๐Ÿ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on April 7, 2023

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Hamida (Guest) on March 23, 2023

๐Ÿ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on March 14, 2023

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Peter Mbise (Guest) on March 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„

Lucy Wangui (Guest) on March 8, 2023

Hii imenikuna sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

George Mallya (Guest) on March 5, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on February 3, 2023

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on January 29, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

David Musyoka (Guest) on January 21, 2023

๐Ÿคฃ Nalia kwa kicheko kweli!

Joyce Mussa (Guest) on January 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 28, 2022

Nimefurahia sana hii! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on December 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…

Janet Sumari (Guest) on December 25, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Jamila (Guest) on November 23, 2022

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on November 11, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Sofia (Guest) on October 29, 2022

๐Ÿ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on October 5, 2022

๐Ÿคฃ Hii imenigonga vizuri!

Maimuna (Guest) on September 29, 2022

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Samuel Were (Guest) on September 13, 2022

Hii ni bomba sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘

Stephen Mushi (Guest) on August 30, 2022

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Nora Kidata (Guest) on August 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Joyce Nkya (Guest) on August 17, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿ‘๐Ÿ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 13, 2022

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 4, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisemaโ€ฆ. "Baba n... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TUโ€ฆโ€ฆโ€ฆ

... Read More
Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sanaโ€ฆ

Mgeni anakutembelea Maskani kwakoโ€ฆ.Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About