Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Njoroge (Guest) on July 23, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joyce Mussa (Guest) on July 17, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Khadija (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Betty Kimaro (Guest) on May 25, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 6, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nora Kidata (Guest) on April 29, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on April 18, 2024

🀣πŸ”₯😊

Fikiri (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Minja (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Charles Wafula (Guest) on February 16, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Zainab (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 31, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on December 28, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on December 14, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nancy Kabura (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Chiku (Guest) on October 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on October 28, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 27, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chum (Guest) on October 25, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on September 14, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on July 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on May 26, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Binti (Guest) on April 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Anna Mahiga (Guest) on March 14, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Agnes Lowassa (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Philip Nyaga (Guest) on February 19, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Minja (Guest) on December 8, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on December 8, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Tabitha Okumu (Guest) on November 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on November 6, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on November 3, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mashaka (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on October 29, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rabia (Guest) on September 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on September 2, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on August 25, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Bahati (Guest) on August 8, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 1, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chum (Guest) on July 30, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on July 17, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on June 22, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Kevin Maina (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Malecela (Guest) on May 20, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 20, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baraka (Guest) on May 19, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 16, 2022

😊🀣πŸ”₯

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 10, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on April 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on April 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 25, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on March 21, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

πŸ“– Explore More Articles