Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Featured Image
236 💬 ⬇️

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

236 💬 ⬇️

Wazo la jioni hii

Featured Image
236 💬 ⬇️

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Featured Image
237 💬 ⬇️

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Featured Image

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani nilifanya mapenzi na dada yako, mdogo wako, rafiki yako na mama yako

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About