Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mshahara usiobadilika

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu panya wa tatu ni noma

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Featured Image
237 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image
Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Featured Image
236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

236 ๐Ÿ’ฌ โฌ‡๏ธ
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About