Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Jinsi ya kumjua mwanamke ambaye hajatulia a.k.a kicheche

Featured Image

Kumjua mwanamke ambaye hajatulia unaangalia mambo haya yafuatayo

Siyo rahisi kupenda

Dalili ya kwanza ya mwanamke kicheche mi kwamba huwa huwa mara nyingi hawataki mambo ya mahusiano na mambo ya kupendana, wanataka siku zote wawe huru hata mtu yeyote mwenye uwezo zaidi ya aliyenaye akitokea, iwe rahisi kwake kujihusisha naye. Utasikia akisema tuwe Marafiki tuu.

ย 

Anachukulia mahusiano kama njia ya kujinufaisha

Wanawake vicheche huwa hawaingii katika mahusiano kwa sababu wamependa, siku zote wanakuwa na agenda ya siri nyuma yake, unaweza kuita faida, kiujumla kwa kitu chochote atakachokupa katika mahusiano, ujue hapo anatarajia faida yake, utakuta anakuchangamkia na kukufanyia vitu ambavyo hukutarajia, ila lengo lake mwisho wa siku utakuta anaishia kukuomba kitu Fulani kutoka kwako. Yupo tayari kufanya chochote hata kama kinamgarimu ilimradi apate kile anachokitaka.

Anategeka kirahisi kwa vitu vidogo na kwa mtu yoyote

Kwa kawaida mwanamke kicheche, pale tu utapomfurahisha na kumpa zawadi, au hela kila akuombapo unamsaidia, ni rahisi sana kukubali chochote utakacho mwambia afanye, haijalishi kuwa unamalengo gani nae ya baadae au la, ilimradi tu unampa anachotaka. Na hii hutokea kwa kila mwanaume anayemkuta ambaye anaweza kumpa kile anachotaka basi atamfanyia chochote huyo mwanaume anachotaka.

ย 

Anamarafiki wakiume kwa manufaa

Mwanamke kicheche huwa na Marafiki wengi wa kiume kila mmoja kwa ajili ya faida. Mwanamke kuwa na marafiki wa kiume siyo tatizo, ila tatizo linakuja pale ukute mwanamke ana marafiki wa kiume ambao kila rafiki yake huyo anajukumu lake katika maisha yake, kifaida zaidi na siyo tu rafiki wa story za hapa na pale. Unakuta Marafiki hao wote kila mtu anahudumia na wote unaambiwa ni marafiki tu, unaweza kusikia huyu wa kulipia saloon, mwingine wa vocha n.k, basi ujue huyo ni kicheche.

ย 

Ni rahisi kuvunja mahusiano usipompa anachotaka

Mwanamke kicheche anakasirika haraka usipompa kile anachokitaka. Wanawake kama hawa wamezoea kupata kitu chochote watakacho kutoka kwa mwanamme, na ukibahatika kupendwa na mtu kama huyu ujue si bure, ameona kuna kitu utakachoweza kumsaidia, wengine utakuta wanapohitaji kitu wanazunguka na story nyingi ila mwisho wa siku kama mtu muelewa utajua tu anataka nini, tena hata kubembelezwa hashindwi, ila usimpe sasa anachohitaji, unaweza usiongeleshwe wiki nzima hadi pale utapokamilisha hitaji lake. Ukishindwa kabisa kumpa anachokitaka basi anavunja uhusiano na wewe na kutafuta mtu mwingine anayeweza kumpa anachokitaka.

Unaweza kuwafahamu wanawake zaidi kupitia Kitabu hiki cha SIRI ZA WANAWAKE. Unaweza kudownload kitabu hiki moja kwa moja hapa

[products columns="2" ids="30827"]
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kujaribu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Karibu kwenye blogi hii ambapo tutazungumzia kuhusu mbinu za kuleta msisimko wakati wa ngono/kufa... Read More

Faida na Hasara za Kufanya Mapenzi

Faida na Hasara za Kufanya Mapenzi

Mapenzi ni kitu cha maana sana katika maisha yetu. Yana faida nyingi sana lakini pia yanaweza kuw... Read More

Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Wazi kuhusu Kufanya Mapenzi na Mapenzi

Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Wazi kuhusu Kufanya Mapenzi na Mapenzi

Kufanya mapenzi ni kitu ambacho wengi wetu tunakifurahia. Hata hivyo, ni muhimu kujadili kwa wazi... Read More

Njia za Kuimarisha Mazoea ya Kuunga Mkono na Kufurahia Mafanikio ya Kila Mtu katika Familia

Njia za Kuimarisha Mazoea ya Kuunga Mkono na Kufurahia Mafanikio ya Kila Mtu katika Familia

Familia ni moja ya maeneo muhimu sana katika maisha yetu. Ni mahali ambapo tunapata faraja na upe... Read More

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia Yako

Njia za Kuimarisha Ushirikiano wa Kijamii na Kuwa na Urafiki katika Familia Yako

Kuimarisha ushirikiano wa kijamii na kuwa na urafiki katika familia yako ni muhimu sana kwa afya ... Read More

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Nafasi ya Kujifunza na Kupata Maarifa katika Familia

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Nafasi ya Kujifunza na Kupata Maarifa katika Familia

Kuweka Kipaumbele cha Kujenga Nafasi ya Kujifunza na Kupata Maarifa katika Familia

  1. ... Read More
Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Mshikamano katika Familia: Kuunda Nafasi ya Kusaidiana

Kukabiliana na Mazoea ya Kukosa Mshikamano katika Familia: Kuunda Nafasi ya Kusaidiana

  1. Familia ni kitovu cha mahusiano ya kijamii. Hivyo basi, ni muhimu kuhakikisha kuwa kuna... Read More

Kuhamasisha Ushirikiano na Kusaidiana ili Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Kuhamasisha Ushirikiano na Kusaidiana ili Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Kuhamasisha Ushirikiano na Kusaidiana ili Kuwa na Amani na Furaha katika Familia

Familia n... Read More

Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kimahusiano na mawazo ya zamani ya mpenzi wako

Jinsi ya Kuelewa na kushughulikia tofauti za kimahusiano na mawazo ya zamani ya mpenzi wako

Wakati mwingine, uhusiano unaweza kuwa ngumu sana kwa sababu ya tofauti za mawazo kati ya wewe na... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Ukarimu na Upendo katika Familia yako

Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Ukarimu na Upendo katika Familia yako

Familia ni muhimu sana katika maisha yetu. Ni mahali ambapo tunapata upendo, msaada, na faraja. N... Read More

Jinsi ya Kuunda Amani na Furaha katika Familia Yako

Jinsi ya Kuunda Amani na Furaha katika Familia Yako

Kuunda amani na furaha katika familia yako ni muhimu sana. Familia ni eneo la usalama, upendo na ... Read More

Kukabiliana na Mazoea ya Kutothamini katika Mahusiano: Kuelewa Umuhimu wa Kuonyesha Shukrani

Kukabiliana na Mazoea ya Kutothamini katika Mahusiano: Kuelewa Umuhimu wa Kuonyesha Shukrani

Mahusiano ni sehemu muhimu sana katika maisha ya kila mmoja wetu. Ni muhimu kuwa na uhusiano mzur... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles
๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About