Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, kuna njia salama ya kutoa mimba?

Featured Image

Hatari inategemea na mazingira ambapo mimba inatolewa. Kama ni hospitalini na i inatolewa na mtaalamu aliyesomea na kama mazingira na vifaa ni safi, uwezekano wa kutoa mimba salama ni mkubwa. Lakini, hata katika mazingira hayo, shida zinaweza kutokea.

Msingi wa kukumbuka ni kwamba kutoa mimba mwenyewe au hata kwa mtu asiyesomea ni hatari sana. Kwa wanawake wanaojaribu kutoa mimba kuna uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi katika via vya uzazi na baadhi yao hutoboa mfuko wa uzazi. Matatizo haya ni hatari sana. Matatizo yanayohusiana na kutoa mimba ni mazito, kama mfuko wa uzazi kuharibika, maambukizi yasiyotibiwa katika via vya uzazi, kutoa damu nyingi, ugumba au hata kifo kwa mwanamke aliyehusika.

Kwa hiyo ni vizuri zaidi na tena salama kuacha kutoa mimba. Unaweza kuzuia kupata mimba i isiyotarajiwa, ama kwa kuacha kujamii ana au kwa kutumia njia za uzazi wa mpango kujikinga. Pia kumbuka kuwa utoaji mimba hauruhusiwi hapa Tanzania.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?

Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?

Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka... Read More

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano?

Je, kuna umuhimu wa kufanya ngono/kufanya mapenzi kwa mara kwa mara katika uhusiano? Hili ndilo s... Read More

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku... Read More

Je, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI vinaambukiza kwa kujamiiana kwa njia ya sehemu ya haja kubwa au mdomoni?

Je, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI vinaambukiza kwa kujamiiana kwa njia ya sehemu ya haja kubwa au mdomoni?

Ndiyo, kuna hatari kubwa ya kuambukizwa Virusi vya UKIMWI na UKIMWI wakati wa kujamii ana kwa nji... Read More

Je, mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI?

Je, mtu mwenye kuonekana na afya nzuri, anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI?

Ndiyo, mtu anayeonekana na afya nzuri anaweza kuwa na virusi vya UKIMWI. Katika hatua ya mwanzo b... Read More

Jinsi ya Kuonyesha Ukarimu kwa Msichana Wako

Jinsi ya Kuonyesha Ukarimu kwa Msichana Wako

Habari za leo! Leo nataka kuzungumza juu ya jinsi ya kuonyesha ukarimu kwa msichana wako. Kama mw... Read More

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono

Jinsi ya Kukabiliana na Hali ya Kujihisi Kukataliwa kuhusu Ngono 🌟

Karibu kwenye makala... Read More

Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa na kuheshimu dini na imani za mwenza wako kuhusu ngono/kufanya mapenz... Read More

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni njia gani zinaweza kuleta hisia za kihisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Swali hili lin... Read More

Je, kwa nini watu waanzao kutumia dawa za kulevya hupenda kuendelea kuzitumia?

Je, kwa nini watu waanzao kutumia dawa za kulevya hupenda kuendelea kuzitumia?

Hii ndio hasa sababu kwa nini dawa za kulevya ni hatari! Mara unapozizoea unakuwa na ugumu wa kue... Read More

Je, nini imani ya watu katika kuzungumza waziwazi juu ya ngono/kufanya mapenzi na kutokuwa na aibu?

Je, nini imani ya watu katika kuzungumza waziwazi juu ya ngono/kufanya mapenzi na kutokuwa na aibu?

Habari rafiki yangu! Leo tutaongea kuhusu umuhimu wa kuzungumza waziwazi juu ya ngono na kufanya ... Read More

Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?

Inakuwaje, baadhi ya Albino wana macho yanayochezacheza?

Wapo baadhi ya Albino wenye macho ya kuchezacheza na
ambayo hayawezi kulenga pamoja. Hii ina... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About