Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Je, kwa nini inatokea kuzaa mtoto mlemavu?

Featured Image

Kuna aina mbalimbali za ulemavu na kuna sababu mbalimbali za kuzaa mtoto mlemavu. Ulemavu wa mtoto unaweza kuwa wa kurithi au ukatokea katika hatua tofauti wakati mimba inakuwa, kama vile , wakati wa utungaji mimba, wakati wa ujauzito na wakati wa kuzaa.

Baadhi ya ulemavu ni kwa sababau ya hitilafu ya kinasaba (jenetiki) ambayo tayari i i inajulikana kwenye familia, au inayojitokeza ghafla. Hii ni aina ya ulemavu ambao hauwezi kuzuilika.
Ili mimba i iweze kutungwa, kuna mlolongo wa mambo mengi ambayo yanatakiwa yatokee wakati mwafaka. Ule mwenendo wa kujiunga yai lililopevuka likutane na mbegu ya kiume siyo kitu rahisi na i inawezekana yakatokea makosa. Makosa kama hayo siyo rahisi kuyazuia na mara nyingi kutokea kwake ni kwa bahati mbaya.
Sababu mojawapo ni mwanamke kuumwa wakati wa ujauzito. Kama mwanamke mjamzito anaumwa kwa mfano, malaria na anakunywa madawa makali, ugonjwa wenyewe au matumizi ya dawa yanaweza kuleta madhara kwa mimba i inayokua tumboni. Malaria ni ugonjwa mmojawapo unaosababisha mimba kutoka na ulemavu kwa watoto wanaozaliwa. Wanawake wanashauriwa kuwa wangalifu sana wasiugue malaria wakati wa ujauzito. Sababu nyingine ni matumizi ya madawa ya kulevya, pamoja na sigara au pombe wakati wa ujauzito. Vitu hivi sio vizuri kwa mwili wa binadamu, hasa kwa mimba.
Wakati mwingine, ulemavu wa mtoto unatokea wakati wa kuzaliwa. Kwa hiyo ni muhimu sana mwanamke ahakikishe anahudumiwa na mhudumu mwenye ujuzi wa kutosha ambaye anayajua madhara na namna ya kukabiliana nayo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Wenye Furaha na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Wenye Furaha na Msichana

Kuwa na uhusiano wenye furaha na msichana ni jambo ambalo kila mwanaume anatamani. Lakini mara ny... Read More

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Ni kweli kwamba kupata hedhi ni dalili ya mwili wa msichana kuwa tayari kwa kubeba mimba, lakini ... Read More

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kihisia katika ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna tofauti kubwa sana za kihisi... Read More

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Albino anaathirikaje na unyanyapaa na ubaguzi katika jamii?

Watu wengi huwaona Albino kama watu tofauti na watu wengine
na kuwakwepa, wanaweza hata kuba... Read More

Ukeketaji ni nini?

Ukeketaji ni nini?

Katika baadhi za jamii viungo vya uzazi vya nje vya msichana,
yaani kisimi au sehemu ya ndan... Read More

Vidokezo vya Kuonyesha Heshima kwa Ndugu za Msichana Wako

Vidokezo vya Kuonyesha Heshima kwa Ndugu za Msichana Wako

Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume... Read More

Je, inachukua muda gani tangu mtu aambukizwe na VVU hadi vionekane kwenye damu?

Je, inachukua muda gani tangu mtu aambukizwe na VVU hadi vionekane kwenye damu?

Inakadiriwa huchukua miezi mitatu tangu kuambukizwa na VVU hadi i virusi hivyo vionekane kwenye d... Read More

Jinsi ya Kuwa na Uhuru katika Uhusiano wako na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Uhuru katika Uhusiano wako na Msichana

Kila mtu anataka kuwa na uhuru katika uhusiano wao na msichana wao. Lakini wakati mwingine inawez... Read More

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke unasababishwa na nini?

Ugumba wa mwanamke ni hali ya mwanamke kushindwa kupata mimba. Kama kwa wanaume kuna mambo mengi ... Read More

Nifanyeje Kuelewa umuhimu wa Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI?

Nifanyeje Kuelewa umuhimu wa Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI?

Nifanyeje Kuelewa Umuhimu wa Kujikinga na Maambukizi ya UKIMWI? 🌍

Leo, tutaangazia umuh... Read More

Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?

Je, kuna vipimo ambavyo vinaweza kugundua hali ya kuwepo kwa ualbino wakati kichanga kikiwa bado tumboni?

Hakuna kipimo rahisi cha kuwezesha kuonyesha kama mama
mjamzito amebeba kinasaba cha ualbino... Read More

Madhara yatokanayo na ukeketaji

Madhara yatokanayo na ukeketaji

Ukeketaji au tohara ya wanawake ni hatari sana kwa msichana anayetahiriwa. Wasichana hufa kutokana n... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About