Kutumia dawa za kulevya kwa kiasi kidogo kunaweza kusilete madhara i ila mpaka tu pale utakapoyazoea. Mara nyingi watu huanza kuhitaji dawa zaidi pale wanapozizoea na kupata madhara. Hii i ii inaweza kusababishia mtu kutawaliwa na dawa za kulevya. Mtumiaji wa dawa za kulevya anaweza kuwa mtegemezi wa dawa hizo bila ya kujijua. Kujaribu dawa za kulevya kunaweza kukawa na madhara kama โutaishia pabayaโ. โKuishia pabayaโ ni jambo la kutisha na si la kufurahisha hata kidogo! Hali hiyo inaweza kutokea mara ya kwanza unapoanza kutumia bangi.
Je, kuna madhara yoyote pale utakapojaribu kutumia dawa za kulevya mara moja tu au utakapotumia kwa kiasi kidogo sana?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, watu wanapendelea kutumia kinga wakati wa kufanya ngono/kufanya mapenzi?
-
Kutumia Kinga Hupunguza Hatari za Maambukizi ya Ngono Kutumia kinga ni hatua muhimu kat... Read More
Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii
Jinsi ya Kuepuka Kupotoshwa kuhusu Ngono na Mitandao ya Kijamii ๐ฑ๐๐
Karibu vijana... Read More
Inakuaje mwanaume anaonyesha dalili za magonjwa ya zinaa zaidi kuliko mwanamke?
Wanaume mara nyingi huambukizwa sehemu za mrija wa mkojo. Katika sehemu hizi ni rahisi kusikia mw... Read More
Je, mwanamke anaweza kufikia mshindo (kufika kileleni)?
Ndiyo, mwanamke anaweza kufikia mshindo wakati wa kujamiiana. Dalili ya mwanamke kufikia mshindo ... Read More
Ubikira ni nini?
Maana halisi ya neno โbikiraโ ni mwanamke au mwanaume ambaye hajawahi kabisa kujamii ana. Kuj... Read More
Sheria gani zimetungwa kuhusu ukeketaji?
Serikali zote na mashirika ya kimataifa wameweka mdhamana
na kukubali kulinda haki za binada...
Read More
Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana
Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana
Kuwa msichana ni nzuri, lakini kuwa msichan... Read More
Je, kuna madhara gani usipooga baada ya kujamiiana?
Hakuna madhara yoyote ya msingi anayopata mtu asipooga baada ya kujamiiana. Isipokuwa kwa ajili y... Read More
Haki zinazokiukwa iwapo mvulana au msichana wamelazimishwa kuoa au kuolewa
Nani na lini unaoa ni maamuzi yako binafsi wewe mwenyewe,
hata kama rafiki na wazazi wanakus...
Read More
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika?
Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya mvutano au ngono/kufanya mapenzi ya kupumzika? Hil... Read More
Je, watu wanapendelea kujaribu michezo wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari zenu wapenzi wa blog hii! Leo tutaangazia swali moja la kuvutia sana ambalo huenda linawas... Read More
Vidokezo vya Kuwa na Msichana Mzuri wa Kuwa Naye
Vidokezo vya Kuwa na Msichana Mzuri wa Kuwa Naye
Kila mwanaume anapenda kuwa na msichana m... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!