Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utoaji wa zawadi kwa kubadilishana na kujamiiana

Featured Image

Kutoa zawadi kwa mtu kwa kubadilishana ili kujamiiana
ni unyanyasaji mbaya. Iwapo mpokeaji wa zawadi hajakubali
kujamiiana na unamlazimisha, mwanamume au mwanamke
kujamiiana hapo hiyo ni unyanyasaji na unamwonea kwa sababu
jambo hilo la kujamiiana lilikuwa halikubaliki kwa mtu yule.
Hapa Tanzania kosa la namna hii hujulikana kama unyanyasaji/
unyonyaji wa ujinsia10 ambapo mtu hufikiria kutumia fedha,
mali au msaada kwa mtoto au wazazi kwa kusudi la kumpata ili
ajamiiane naye.

Uwe mwangalifu unapopewa zawadi, alama za juu shuleni, au
kuajiriwa kwa ajili ya kubadilishana na ngono. Kila mara uliza na
jaribu kuelewa kwa nini zawadi inatolewa kwako.
Usikubali zawadi yoyote au pesa, kama unafikiri kuwa huyo mtu
anayekupa hongo kama zawadi, anakutegemea wewe kujamiiana
naye kwa kubadilishana na hiyo zawadi aliyokupa. Ni jambo
la majaribu kukubali
zawadi au pesa, hasa pale
unapohitaji, lakini fikiri
hatari itakayokupata kwa
kujamiiana kama vile mimba
usiyoitarajia, magonjwa
yaenezwayo kwa njia ya
kujamiiana hata Virusi na
Ukimwi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani

Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani

Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani

Kupata msichana mzuri na sifa z... Read More

Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?

Nini kinatokea wakati Virusi vya UKIMWI (VVU) vinapoingia mwilini na vinakwenda wapi katika sehemu ya mwili?

Virusi hivi vinakaa katika chembechembe nyeupe zilizopo kwenye majimaji ya mwili i wa binadamu ha... Read More

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Mtoa huduma wa afya anaweza kukataa kutibu?

Siyo haki kwa mtoa huduma wa afya kukataa kumtibu.
Kama kijana, una haki sawa ya kutibiwa ka... Read More

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Vidokezo vya Kufurahia Safari za Pamoja na Msichana

Kila mwanamume anapenda kukutana na msichana ambaye anaweza kuwa rafiki wa karibu na kuwa na uhus... Read More

Je, mtu anaweza kuambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI iwapo atavaliana nguo na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Je, mtu anaweza kuambukizwa virusi vya UKIMWI na UKIMWI iwapo atavaliana nguo na mtu mwenye Virusi vya UKIMWI na UKIMWI?

Hapana, Virusi vya UKIMWI na UKIMWI hauambukizwi kwa kuvaliana nguo na mgonjwa, kwa sababu vijidu... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili mawazo na hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili mawazo na hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Kwa wengi, ngono inaonekana kama kitendo cha kimwili tu bila ya umuhimu wa kujadili mawazo na his... Read More

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, watu wanapendelea kutumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya rangi wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, umewahi kufanya mapenzi ukatumia vifaa vya burudani kama vile vyombo vya muziki au nuru ya ra... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Uoga kabla ya Kufanya Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Uoga kabla ya Kufanya Ngono?

Jinsi ya Kukabiliana na Hisia za Uoga Kabla ya Kufanya Ngono 🌟

Karibu kwenye makala hii... Read More

Kwa nini kuna Watanzania wanaovuta bangi?

Kwa nini kuna Watanzania wanaovuta bangi?

Sababu mojawapo ni kuwa bangi hulimwa hapa nchini na
hivyo hupatikana kwa urahisi. Bangi huu... Read More

Njia za Kuzuia Mimba

Njia za Kuzuia Mimba

Njia za uzazi wa mpango zinatofautiana sana na zinaweza kugawanywa katika makundi mengi:

Vizuizi... Read More

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa?

Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? 😊

Karibu vijana wa... Read More

Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?

Mwanamume au mvulana anaweza kubakwa?

Ndiyo, mtu yoyote anayelazimishwa
kujamiina atakuwa
amebakwa, haijalishi kama
mtu ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About