Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa nini Albino tunaonekana kama mzigo katika familia zetu?

Featured Image

Watu wanaohitaji kupewa uangalizi maalumu wanaweza
kuonekana ni mzigo kwa kuwa wanaweza wakawa wanaomba
kupewa mahitaji au msaada maalumu tofauti na watu wengine
wa kawaida. Wazazi na wanafamilia wengine wanaweza
kuchukizwa na matamshi wanaotoa watu wengine pamoja na
kulazimika kuvumilia utani na matusi. Ndugu wanapaswa kujua
kwa nini ndugu yao Albino ni tofauti na kwa nini anahitaji
uangalizi maalumu.
Familia ndiyo msingi wa kumwezesha mtoto Albino kujitambua
na kukubali hali aliyo nayo. Familia inayoweza kumkubali mtoto
wao Albino inaneemeka na kuwa yenye furaha kwa sababu
mtoto Albino anakuwa kiungo maalumu katika familia, yaani
inaipa familia hali ya kuwa na nguvu yao iliyoungana.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Tarehe ya Kimapenzi na Msichana

Kama wewe ni miongoni mwa wanaume wanaotaka kuwa na tarehe ya kimapenzi na msichana, kuna vidokez... Read More

Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni

Utumiaji nguvu katika mahusiano ya ujinsia kama sehemu ya utamaduni

Utumiaji wa nguvu
katika mahusiano ya
ujinsia unavunja haki
za uzazi na haki zaRead More

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

Vidokezo vya Kujenga Ukaribu na Msichana Wako

  1. Anza kwa kujenga urafiki mzuri Kabla ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi, ni muhimu kujeng... Read More

Je, kuna umuhimu wa kujadili mipaka ya faragha katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kujadili mipaka ya faragha katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?

Leo tutaongelea kuhusu umuhimu wa kujadili mipaka ya faragha katika uhusiano wa ngono au kufanya ... Read More

Magonjwa ya zinaa na dalili zake

Magonjwa ya zinaa na dalili zake

Kuna magonjwa mengi tofauti ya zinaa, lakini yale ambayo yameenea sana ni kisonono, kaswende, klamdi... Read More
Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?

Wakati wa kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume inayopenya kwenye yai, mbegu nyingine zinaenda wapi?

Ni kweli kwamba wakati wa kujamii ana na kutunga mimba ni mbegu moja tu ya kiume i inayopenya kwe... Read More

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Je, kwa nini unasema kwamba wasichana vijana hawapo tayari kubeba mimba?

Ni kweli kwamba kupata hedhi ni dalili ya mwili wa msichana kuwa tayari kwa kubeba mimba, lakini ... Read More

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Miili Yetu kabla ya Kujihusisha na Ngono?

Nifanyeje Kujielewa na Kuelewa Miili Yetu kabla ya Kujihusisha na Ngono?

Jinsi ya Kujielewa na Kuelewa Miili Yetu kabla ya Kujihusisha na Ngono 😊😊😊

Karibu... Read More

Je, ni muhimu kuelewa na kuheshimu hisia za mwenza wako wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kuelewa na kuheshimu hisia za mwenza wako wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

  1. Kujenga uhusiano wa kimapenzi wenye afya na mwenza wako ni muhimu sana. Hii ni kwa saba... Read More

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi yenye michezo ya kubahatisha?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kawaida au ngono/kufanya mapenzi yenye michezo ya kubahatisha?

Je, unajua kwamba wengi wetu tunapenda kufanya mapenzi ya kawaida? Na pia unajua kwamba kuna wale... Read More

Ni katika umri gani vijana wana haki ya kutumia huduma za afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Ni katika umri gani vijana wana haki ya kutumia huduma za afya ya uzazi na njia za uzazi wa mpango?

Hakuna kiwango cha umri kwa kutumia huduma za afya ya uzazi
na njia za uzazi wa mpango. Unat... Read More

Jinsi ya Kuwa na Furaha na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Furaha na Msichana Wako

Jinsi ya Kuwa na Furaha na Msichana Wako

Kuwepo kwa mtu ambaye unampenda na kujali ni jamb... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About