Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Featured Image

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANA friend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambia hivi:-

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor

MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o

MSICHANA: Aaah! Hicho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie

MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.

MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe

Baba mtu akawatazama kisha akasema

BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli

MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana yupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!

BABA: Sawa! Usisahau kumpatia na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!

Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GET PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED" by Wole Soyinka.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on May 20, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Sumari (Guest) on April 27, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Bakari (Guest) on March 30, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lucy Wangui (Guest) on February 5, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Mkumbo (Guest) on January 27, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rahim (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nora Kidata (Guest) on January 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on December 31, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Lowassa (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Alice Jebet (Guest) on December 22, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Mrema (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on December 10, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaisha (Guest) on December 4, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Alice Jebet (Guest) on November 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on November 14, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on October 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Hawa (Guest) on August 23, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kendi (Guest) on August 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Esther Cheruiyot (Guest) on August 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shani (Guest) on August 10, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Farida (Guest) on July 7, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 3, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

David Musyoka (Guest) on June 28, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on June 16, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Sarah Karani (Guest) on April 29, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on April 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

George Wanjala (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 22, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on February 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on January 31, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on January 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on December 26, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mchuma (Guest) on October 11, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on September 22, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on September 19, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mercy Atieno (Guest) on September 17, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Robert Okello (Guest) on August 28, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on August 26, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on August 14, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on July 24, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

James Kawawa (Guest) on June 9, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mary Mrope (Guest) on June 5, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 22, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on May 19, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kenneth Murithi (Guest) on May 6, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Brian Karanja (Guest) on April 18, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Minja (Guest) on April 10, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 10, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About