Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Malima (Guest) on September 27, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 11, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Frank Sokoine (Guest) on May 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on May 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on May 17, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 15, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Kimario (Guest) on May 1, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rubea (Guest) on February 3, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Chris Okello (Guest) on December 15, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Safiya (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zuhura (Guest) on November 30, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Thomas Mtaki (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Selemani (Guest) on November 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Lucy Wangui (Guest) on October 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Shani (Guest) on September 25, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on August 21, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on August 18, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zainab (Guest) on August 11, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Njuguna (Guest) on August 6, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kimario (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Hawa (Guest) on June 24, 2016

Asante Ackyshine

Shamim (Guest) on May 23, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on May 14, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on May 10, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on April 27, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Victor Sokoine (Guest) on April 20, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on March 5, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on March 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lucy Wangui (Guest) on January 30, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on January 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

James Mduma (Guest) on December 16, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on December 12, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Malecela (Guest) on November 17, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Majaliwa (Guest) on October 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Saidi (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Issa (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Bahati (Guest) on October 1, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Vincent Mwangangi (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Naliaka (Guest) on August 7, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

George Tenga (Guest) on May 15, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 9, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About