Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja; MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili? MFAMASIA: Kama chumvichumvi MZEE: Hakuna sukari MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Mduma (Guest) on May 13, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on March 8, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on March 5, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Jamal (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 22, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Safiya (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Margaret Mahiga (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zakia (Guest) on January 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on December 28, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Christopher Oloo (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on October 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Maulid (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on August 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Stephen Amollo (Guest) on August 4, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Sumaye (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on July 9, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on June 16, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anna Kibwana (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on April 2, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kitine (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 15, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on March 6, 2016

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on February 27, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 24, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 30, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on November 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sharon Kibiru (Guest) on November 26, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on November 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Kahina (Guest) on October 19, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mchome (Guest) on October 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Warda (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Kawawa (Guest) on August 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on August 10, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 2, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on June 21, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on May 5, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 13, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Khatib (Guest) on April 8, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Related Posts

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More