Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Ndomba (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Agnes Njeri (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on July 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on June 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 21, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Rahim (Guest) on May 17, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 16, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Mahiga (Guest) on May 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Samuel Were (Guest) on May 5, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on March 19, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on March 4, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 6, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on December 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Maimuna (Guest) on October 31, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jamila (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 10, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on September 28, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 16, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sofia (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Christopher Oloo (Guest) on July 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kassim (Guest) on May 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Irene Akoth (Guest) on May 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 6, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nekesa (Guest) on April 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Wilson Ombati (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Majid (Guest) on February 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mustafa (Guest) on February 8, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 7, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on January 9, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on December 25, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Francis Njeru (Guest) on December 24, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on December 13, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Safiya (Guest) on November 30, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Salima (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Kawawa (Guest) on October 30, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Zulekha (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mrema (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwakisu (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Linda Karimi (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Faiza (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

πŸ“– Explore More Articles