Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kendi (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on March 19, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

George Wanjala (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on March 4, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on February 27, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 6, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on December 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Maimuna (Guest) on October 31, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Jamila (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on October 10, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on September 28, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on September 16, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Sofia (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Christopher Oloo (Guest) on July 25, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on June 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kassim (Guest) on May 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Irene Akoth (Guest) on May 18, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 6, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Josephine Nekesa (Guest) on April 19, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on March 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Wilson Ombati (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Majid (Guest) on February 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mustafa (Guest) on February 8, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 7, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on January 9, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on December 25, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Francis Njeru (Guest) on December 24, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on December 13, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Safiya (Guest) on November 30, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Salima (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Wairimu (Guest) on November 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Kawawa (Guest) on October 30, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Zulekha (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mrema (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mwakisu (Guest) on August 23, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Linda Karimi (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Faiza (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on July 27, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 20, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Anna Mahiga (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Latifa (Guest) on June 30, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Carol Nyakio (Guest) on June 13, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Vincent Mwangangi (Guest) on June 5, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Edward Lowassa (Guest) on May 15, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

πŸ“– Explore More Articles