Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Makena (Guest) on June 10, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 4, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Victor Kimario (Guest) on April 16, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Amollo (Guest) on April 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on March 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on March 10, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Juma (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Andrew Mchome (Guest) on February 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on February 12, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rehema (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on December 18, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on December 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 15, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Kiza (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Diana Mumbua (Guest) on October 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on September 15, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Hashim (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on August 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Mushi (Guest) on August 4, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

George Ndungu (Guest) on July 7, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shamim (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kenneth Murithi (Guest) on June 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 2, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on May 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on May 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Majid (Guest) on April 27, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on March 25, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Esther Cheruiyot (Guest) on March 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on March 19, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Malima (Guest) on March 5, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

James Kawawa (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

George Tenga (Guest) on February 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 4, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on December 11, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Linda Karimi (Guest) on October 5, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Linda Karimi (Guest) on September 17, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Wanjiru (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Malima (Guest) on July 25, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Furaha (Guest) on July 15, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

George Mallya (Guest) on May 28, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rashid (Guest) on May 16, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 10, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Related Posts

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

πŸ“– Explore More Articles