Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Susan Wangari (Guest) on August 16, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on July 10, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on June 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on May 12, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on March 24, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on March 12, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rukia (Guest) on March 4, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Stephen Mushi (Guest) on March 4, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on January 30, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hassan (Guest) on January 22, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Otieno (Guest) on December 16, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Joseph Kawawa (Guest) on December 15, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on December 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mwanaisha (Guest) on November 17, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Janet Wambura (Guest) on November 9, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Zuhura (Guest) on October 23, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on October 19, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Ali (Guest) on October 13, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Daniel Obura (Guest) on September 14, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mwanajuma (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Daniel Obura (Guest) on September 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on August 31, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Issack (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Lowassa (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 2, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Issa (Guest) on July 17, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Chum (Guest) on July 10, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Martin Otieno (Guest) on July 3, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issack (Guest) on July 3, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mwangi (Guest) on June 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on June 12, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on May 25, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on May 19, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on May 10, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Halima (Guest) on April 26, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Asha (Guest) on March 26, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Zakia (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joseph Kiwanga (Guest) on November 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on November 12, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on October 30, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Maimuna (Guest) on October 30, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on October 12, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on September 3, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on August 29, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Linda Karimi (Guest) on August 3, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 23, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Mrope (Guest) on June 13, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mwalimu (Guest) on April 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lydia Mutheu (Guest) on April 19, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About