Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on July 15, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 7, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yusuf (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 28, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on June 28, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jaffar (Guest) on May 21, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 4, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on March 23, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on March 12, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jamila (Guest) on February 19, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on February 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Jamal (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Awino (Guest) on January 20, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 13, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Shamsa (Guest) on December 28, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on December 5, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nora Kidata (Guest) on November 27, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Anna Kibwana (Guest) on November 26, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chiku (Guest) on November 2, 2016

Asante Ackyshine

Grace Wairimu (Guest) on October 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on October 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on October 1, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on August 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alice Mrema (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on July 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on June 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Miriam Mchome (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Martin Otieno (Guest) on May 25, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on May 20, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on May 3, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Elizabeth Mrema (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Benjamin Masanja (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on November 30, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Ochieng (Guest) on November 18, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on November 13, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on September 8, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hashim (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Njuguna (Guest) on August 18, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on August 4, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fikiri (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Monica Lissu (Guest) on April 19, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

πŸ“– Explore More Articles