Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on June 1, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on May 3, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Agnes Lowassa (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Musyoka (Guest) on April 28, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 5, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 16, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Andrew Mchome (Guest) on January 27, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on December 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on November 10, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Mary Mrope (Guest) on October 31, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Martin Otieno (Guest) on October 29, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on September 15, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on September 2, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2016

🀣πŸ”₯😊

Michael Mboya (Guest) on August 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on July 24, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on July 7, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on July 1, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Malecela (Guest) on June 14, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Lydia Wanyama (Guest) on June 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mwanaisha (Guest) on May 28, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Mwagonda (Guest) on May 26, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on May 20, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Otieno (Guest) on May 16, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Salima (Guest) on May 11, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Halimah (Guest) on March 7, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Chris Okello (Guest) on February 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on February 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on December 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on November 15, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lydia Mutheu (Guest) on November 11, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Malima (Guest) on November 6, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nassor (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Njeri (Guest) on September 29, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on September 28, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Mrope (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ann Wambui (Guest) on July 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Salum (Guest) on July 12, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwajuma (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Kimani (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 2, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on April 29, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on April 12, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on April 4, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

Angalia huyu jamaa alivyomuweza huyu binti wa chuo

😁😁😁😁 .. TABU KUDATE NA MADEMU WA CHUO
Demu ;Β Baby Safari Hii N... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More