Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Kijakazi (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jacob Kiplangat (Guest) on October 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 9, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on October 3, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on September 24, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on September 1, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on August 31, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Ann Wambui (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on August 23, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Diana Mallya (Guest) on July 12, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nashon (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Robert Okello (Guest) on May 31, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 18, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on March 7, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on February 21, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on January 30, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on January 25, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Richard Mulwa (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚

Chum (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Samson Mahiga (Guest) on November 28, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on November 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Hassan (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Mchawi (Guest) on November 7, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on October 31, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nora Lowassa (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 8, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on July 16, 2018

Asante Ackyshine

Francis Mrope (Guest) on July 4, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on July 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on July 3, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 19, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Baridi (Guest) on May 9, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 29, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on April 24, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mushi (Guest) on April 9, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edith Cherotich (Guest) on March 10, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on March 3, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Mwanaidha (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Muslima (Guest) on November 25, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Hekima (Guest) on November 21, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joy Wacera (Guest) on November 19, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Robert Ndunguru (Guest) on November 15, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zawadi (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Susan Wangari (Guest) on October 24, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on October 19, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on October 9, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Malisa (Guest) on September 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on September 1, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Richard Mulwa (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on July 22, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More