Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Kiwanga (Guest) on June 18, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 31, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on May 14, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 10, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on April 15, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on February 23, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on February 3, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Otieno (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on November 18, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on November 12, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tabitha Okumu (Guest) on November 9, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Karani (Guest) on November 4, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on October 29, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 7, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on September 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on September 1, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Lissu (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Francis Mrope (Guest) on May 17, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on May 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mrope (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zubeida (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ann Wambui (Guest) on February 17, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on January 9, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 28, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on December 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on November 21, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yusuf (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 13, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on September 3, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

David Chacha (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on August 25, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Emily Chepngeno (Guest) on August 25, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on August 3, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lydia Wanyama (Guest) on July 4, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on June 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mazrui (Guest) on June 15, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Bakari (Guest) on May 24, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 15, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Masika (Guest) on April 12, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Salima (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Susan Wangari (Guest) on March 16, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bahati (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on February 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on February 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on January 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About