Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Chris Okello (Guest) on February 24, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Bakari (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Mallya (Guest) on January 15, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on January 3, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Michael Onyango (Guest) on December 4, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on November 30, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on November 16, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Stephen Kikwete (Guest) on October 26, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 23, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nuru (Guest) on October 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Mbise (Guest) on September 29, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on September 9, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on August 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on June 29, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Moses Kipkemboi (Guest) on May 19, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Francis Njeru (Guest) on May 18, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on May 4, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on May 3, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on May 2, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Kahina (Guest) on April 29, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam (Guest) on April 11, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Zainab (Guest) on March 23, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Malima (Guest) on January 27, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on January 23, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on December 19, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on December 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Hashim (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mary Sokoine (Guest) on November 28, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Patrick Mutua (Guest) on November 13, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hekima (Guest) on September 29, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

James Kawawa (Guest) on August 29, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Janet Sumaye (Guest) on July 6, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Mbithe (Guest) on June 29, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on June 25, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on June 14, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 27, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on May 16, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarafina (Guest) on May 4, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Sumari (Guest) on May 1, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on April 22, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on April 9, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on March 24, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Isaac Kiptoo (Guest) on March 15, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 8, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 29, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Martin Otieno (Guest) on January 20, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kenneth Murithi (Guest) on December 16, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 9, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Margaret Anyango (Guest) on November 20, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on November 5, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Azima (Guest) on October 16, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on October 13, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on October 2, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rose Waithera (Guest) on September 30, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

John Mushi (Guest) on September 10, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Related Posts

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

πŸ“– Explore More Articles