Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..

BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on April 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on March 26, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sumaya (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

James Kimani (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 12, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on January 23, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Njeri (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mzee (Guest) on November 11, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joy Wacera (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Daniel Obura (Guest) on October 9, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Malisa (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on September 21, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kawawa (Guest) on September 21, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Benjamin Masanja (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Kheri (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joy Wacera (Guest) on July 30, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mzee (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ramadhan (Guest) on July 9, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ruth Kibona (Guest) on June 17, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 4, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 29, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on April 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on April 10, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Miriam Mchome (Guest) on March 3, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jabir (Guest) on February 3, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Abubakar (Guest) on February 2, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Diana Mallya (Guest) on January 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on January 15, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on January 2, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on December 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Leila (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Makame (Guest) on November 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on November 14, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Alex Nakitare (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 29, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on October 14, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on August 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on July 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Esther Nyambura (Guest) on July 17, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on July 14, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Fadhili (Guest) on July 3, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on June 20, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 10, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

David Nyerere (Guest) on June 1, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on May 24, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Omari (Guest) on April 11, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 9, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on April 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Shukuru (Guest) on March 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More