Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?

JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Kawawa (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on December 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 7, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Lissu (Guest) on November 5, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on September 2, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on August 22, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on July 27, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joseph Njoroge (Guest) on June 8, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Sokoine (Guest) on May 12, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on April 11, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Paul Kamau (Guest) on March 31, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 10, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Grace Minja (Guest) on March 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on February 20, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 8, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwanahawa (Guest) on January 17, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Joyce Mussa (Guest) on January 16, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Musyoka (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Tabitha Okumu (Guest) on December 27, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

James Kawawa (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on December 15, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 10, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on November 25, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Lydia Mutheu (Guest) on November 20, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on November 5, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on November 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on October 10, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Nyerere (Guest) on September 20, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Maimuna (Guest) on September 5, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on August 23, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Ann Awino (Guest) on August 12, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 12, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on August 11, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Francis Mtangi (Guest) on August 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Edward Lowassa (Guest) on July 3, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on June 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Martin Otieno (Guest) on May 3, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on March 27, 2018

😊🀣πŸ”₯

Mwanais (Guest) on March 26, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Sarah Achieng (Guest) on March 25, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rose Kiwanga (Guest) on March 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on March 6, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Michael Onyango (Guest) on February 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on January 24, 2018

🀣πŸ”₯😊

Patrick Mutua (Guest) on January 3, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Irene Makena (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on December 17, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on December 15, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Chris Okello (Guest) on November 17, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 6, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Irene Akoth (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on September 27, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on August 9, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Kimario (Guest) on June 21, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

πŸ“– Explore More Articles