Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:

MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Irene Makena (Guest) on January 20, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on January 11, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abubakar (Guest) on December 29, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Kibwana (Guest) on December 17, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 2, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on November 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on November 21, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rashid (Guest) on October 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ann Wambui (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on October 9, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on October 2, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on September 24, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Masika (Guest) on August 16, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on July 21, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 9, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Hashim (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Amani (Guest) on June 24, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Grace Minja (Guest) on May 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

David Nyerere (Guest) on April 26, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 11, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ahmed (Guest) on April 7, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on March 3, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Rashid (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Safiya (Guest) on February 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Issack (Guest) on January 28, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Francis Njeru (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on November 30, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on November 22, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Makame (Guest) on November 9, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 20, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Ann Awino (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 25, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on July 19, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on July 15, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on June 28, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joyce Nkya (Guest) on June 26, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 4, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rehema (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ann Awino (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Ruth Kibona (Guest) on May 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Richard Mulwa (Guest) on April 22, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on April 20, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on April 13, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on March 25, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on March 13, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Grace Wairimu (Guest) on February 19, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on February 19, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Chris Okello (Guest) on January 30, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on January 13, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Betty Kimaro (Guest) on November 5, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on October 23, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on October 1, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About