Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Robert Okello (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Binti (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Irene Akoth (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Amani (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Achieng (Guest) on September 20, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Kawawa (Guest) on September 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Monica Lissu (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Bahati (Guest) on July 27, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on July 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on July 14, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Sarah Karani (Guest) on June 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Hashim (Guest) on May 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on April 28, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on April 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kheri (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kahina (Guest) on January 7, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 26, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on December 16, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Sarah Achieng (Guest) on December 16, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on November 30, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on November 27, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Christopher Oloo (Guest) on November 8, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Selemani (Guest) on November 7, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Kawawa (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Betty Kimaro (Guest) on October 28, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on October 4, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zawadi (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alex Nakitare (Guest) on August 16, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Macha (Guest) on August 1, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on July 18, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Wangui (Guest) on July 10, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on June 17, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on June 9, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mzee (Guest) on April 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chum (Guest) on March 28, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on March 22, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rubea (Guest) on March 7, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on February 4, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Grace Wairimu (Guest) on December 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on December 12, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 10, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on October 27, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on October 12, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Njeri (Guest) on October 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on September 22, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on August 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Kiwanga (Guest) on August 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About