Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Featured Image

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yenyewe tabu.. kwahio picha haikufunguka na kwa vile niliona itachelewa kufunguka na ataona sikumjibu basi nami..

Nikampelekea msg nikamuandikia umependeza saana bosi mashaallah…!!
sasa baada tu ya kumfika msg.. na huku picha ikafunguka kumbe picha ya Sokwe..!!
Basi Kaniambia kesho niende ofsini kwake kuna barua yangu..
Nahisi hyo barua ina pesa, hapa cjalala, nmekosa usingizi kabisa,nawaza ninunulie nn hyo pesa.Na kesho asubuhi sa 12 asubuhi atanikuta ofisini kwake naisubiri barua, sipendagi ujinga mimi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Kangethe (Guest) on April 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on April 5, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Daniel Obura (Guest) on February 16, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Chris Okello (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on January 6, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on December 27, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on December 14, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on October 23, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on October 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Kamande (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Susan Wangari (Guest) on September 24, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on September 18, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on July 26, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on June 1, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shukuru (Guest) on May 25, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on April 28, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fikiri (Guest) on April 8, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

George Mallya (Guest) on March 5, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rubea (Guest) on February 25, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zubeida (Guest) on February 9, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on February 6, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 24, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Grace Mushi (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Diana Mallya (Guest) on December 9, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Abdullah (Guest) on December 7, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on October 21, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on September 20, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Christopher Oloo (Guest) on September 19, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on August 7, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 5, 2018

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Bakari (Guest) on June 19, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on June 14, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on June 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Ndomba (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Omari (Guest) on April 19, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on April 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Ochieng (Guest) on March 13, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Peter Otieno (Guest) on February 20, 2018

Asante Ackyshine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 5, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 2, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Hassan (Guest) on January 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Robert Ndunguru (Guest) on December 16, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anthony Kariuki (Guest) on November 26, 2017

😊🀣πŸ”₯

Shani (Guest) on November 23, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Mrema (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

David Chacha (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
πŸ“– Explore More Articles