Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nahida (Guest) on July 22, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on May 18, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on April 30, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khalifa (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Carol Nyakio (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Njoroge (Guest) on April 3, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on September 30, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on July 17, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on July 2, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mercy Atieno (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Kendi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on May 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 5, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 23, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Hellen Nduta (Guest) on April 9, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Kabura (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on January 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwakisu (Guest) on December 14, 2018

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Latifa (Guest) on December 6, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Saidi (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zakia (Guest) on August 8, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on August 7, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Wilson Ombati (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on June 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Sokoine (Guest) on April 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Saidi (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Otieno (Guest) on March 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on February 26, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Abubakar (Guest) on January 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nuru (Guest) on December 30, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 23, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 6, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Malima (Guest) on November 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

πŸ“– Explore More Articles